Skip to main content

KUTENGENEZA ICING SUGAR NYUMBANI




MAELEKEZO YA KUTENGENEZA ICING SUGAR Nyumbani

-Kwa maelekezo ya picha tafadhali bonyeza hapaBonyeza hapa , utaona zote na utaelewa vizuri.

1. Chukua sukari yako nyeupe weka kwenye blender au food processor.

2.Washa blender, blend sukari uhakikishe una stop kwa kila sekunde 5 huku ukiangalia kama sukari imeshasagika kuwa unga vizuri.

3.Utakapoona sukari yako imesagika vizuri, weka kijiko kimoja tu cha unga wa mahindi kwenye sukari then blend mara moja tu ichanganyike vzri

NOTE: Icing sugar yako tayari kwa matumizi, waweza hifadhi kwenye container ya mfuniko.
Note: Unga wa mahindi unasaidia sukari isitengeneze mabuja pale unapohifadhi.

MUHIMU: Ukihitaji kutumia icing sugar kwenye keki chota kiasi unachotaka, weka kwa bakuli kisha miminia maziwa fresh au limao kidogo kisha koroga vizuri iwe na uzito wa uji, yani maji yasizidi icing sugar. Hapo itakua tayari kwenye kupambia keki au sconzi.

PIA NITAWEKA SOMO LA KUCHANGANYA MAZIWA/JUICE KWENYE ICING SUGAR KWA AJILI YA MATUMIZI YA KUPAMBA KEKI. KAENI TAYARI

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA KEKI YA VANILLA

Jinsi ya Kupika Visheti/Vikokoto~Crunchy Visheti

Half Cake za maziwa